Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Mwenyekiti wa JMAT-TAIFA, Samahat Sheikh Dr.Alhad Mussa Salum akiwa katika kikao Cha Maandalizi ya jambo la Qur'an Tukufu na Dua ya kumuombea Rais wa Tanzania Mh. Dr.Samia Suluhu Hassan. Jambo hili kubwa la Qur'an Tukufu linatarajiwa kufanyika Katika Uwanja wa michezo wa Mkapa, Jijini Dar-es-salaam - Tanzania.
19 Aprili 2025 - 01:07
News ID: 1550319
Your Comment